Hadith Thaqalain kwenye Quran
Tokea enzi ya Mtume (s.a.w) vilikuwa vikundi viwili, cha kwanza chenye kutaka kufuata Quran na Ahlel Bait na cha pili Quran tu.
Kikundi cha pili tokea enzi ya Mtume
(s.a.w) walikuwa wakijaribu kufanya kila aina ya
njama kutaka Ahlel Bait wasifike kwenye madaraka na kuonesha
ukhasama na uadui na Ahlel
Bait ndio maana tukaona wale wenye kuipinga hadith ya Thaqalain kwa
hoja ambayo hadith nyengine mutawatir
Kikundi cha mwanzo ni wafuasi wa Imam Ali (a.s) na cha pili ni wafuasi wa Abu Bakr na Omar. Kwa bahati mbaya kikundi cha pili kwa njama walizozifanya waliweza kuchukuwa utawala kwa mapinduzi waliyoandaa na kuwaweka Ahlel Bait pembeni na kufanya kila njia wasifike kwenye madaraka.
Inatosha kupitiya kwenye Bukhari kuona hivyo vikundi
viwili. Wakati Mtume (s.a.w) yuhai
siku zake za mwisho katika
hali yake ya ugonjwa aliomba
karatasi na kalamu kuandika wasiya,
Volume 7, Book 70, Number 573:
Narrated Ibn 'Abbas:
When Allah's Apostle was on his death-bed and in the house there were some people among whom was 'Umar bin Al-Khattab, the Prophet said, "Come, let me write for you a statement after which you will not go astray." 'Umar said, "The Prophet is seriously ill and you have the Qur'an; so the Book of Allah is enough for us." The people present in the house differed and quarrelled. Some said "Go near so that the Prophet may write for you a statement after which you will not go astray," while the others said as Umar said. When they caused a hue and cry before the Prophet, Allah's Apostle said, "Go away!" Narrated 'Ubaidullah: Ibn 'Abbas used to say, "It was very unfortunate that Allah's Apostle was prevented from writing that statement for them because of their disagreement and noise."
More of the same type of Hadiths can be found in other places :
Volume 1, Book 3, Number 114:
Volume 9, Book 92, Number 468:
Volume 4, Book 52, Number 288:
Volume 4, Book 53, Number 393:
Volume 5, Book 59, Number 716:
Volume 5, Book 59, Number 717:
Baada ya kuweza
kumzuiya Mtume (s.a.w) asiandike wasiya wake, wameweza kufanikiwa hata kuchukuwa utawala baada ya kufariki
Mtume (s.a.w). Kikundi cha Ali (a.s)
na wafuasi
wake hawakupendekezewa kwa
mambo hayo yaliyotokeya katika Uislam na
wote walikusanyika katika nyumba ya
Imam Ali (a.s). Hata kiongozi wa
hicho kikundi cha pili amekiri yakuwa
kikundi ya mwanzo hakuwafikiana nao kwa kitendo
walichokifanya. Ingekuwa
Ali (a.s) amekubaliyana nao kwa vitendo walivyofanya kwa kuchukuwa madaraka
kwa nguvu, basi tungesikiya kwenye tarikh yakuwa
ameshiriki katika vita kwenye enzi
Volume 8, Book 82, Number 817
Narrated Ibn 'Abbas:
And no doubt after the death of the Prophet we were informed that the ANSAR DISAGREED WITH US and gathered in the shed of Bani Sa'da. 'ALI AND ZUBAIR AND WHOEVER WAS WITH THEM, OPPOSED US, while the emigrants gathered with Abu Bakr.
Volume 5, Book 59, Number 546:
Narrated 'Aisha:
When she died, her husband 'Ali, buried her
at night without informing Abu Bakr and he said the
funeral prayer by himself. When
Hata bibi Aisha ambae alikuwa upande wa kikundi cha baba yake amekiri kuwepo kwa vikundi viwili na wakaonesha ukhasama na juu ya kikundi cha Imam Ali (a.s.) na wafuasi wake. Hebu tumsikilize Bukhari nini anatuambia, kisha wewe msomaji zingatiya..
Volume 5, Book 59, Number 727:
Volume 1, Book 11, Number 634:
Volume 7, Book 71, Number 612:
Volume 4, Book 51, Number 4:
Narrated Al-Aswad:
In the presence of 'Aisha some people mentioned that the Prophet had appointed 'Ali by will as his successor. 'Aisha said, "When did he appoint him by will? Verily when he died he was resting against my chest (or said: in my lap) and he asked for a wash-basin and then collapsed while in that state, and I could not even perceive that he had died, so when did he appoint him by will?"
Volume 5, Book 59, Number 736:
Narrated Al-Aswad:
It was mentioned in the presence of 'Aisha that the Prophet had appointed 'Ali as successor by will. Thereupon she said, "Who said so? I saw the Prophet, while I was supporting him against my chest. He asked for a tray, and then fell on one side and expired, and I did not feel it. So how (do the people say) he appointed 'Ali as his successor?"
Volume 1, Book 4, Number 197:
Narrated 'Aisha:
When the ailment of the Prophet became aggravated and his disease became severe, he asked his wives to permit him to be nursed (treated) in my house. So they gave him the permission. Then the Prophet came (to my house) with the support of two men, and his legs were dragging on the ground, between 'Abbas, and another man." 'Ubaid-Ullah (the sub narrator) said, "I informed 'Abdullah bin 'Abbas of what'Aisha said. Ibn 'Abbas said: 'Do you know who was the other man?' I replied in the negative. Ibn 'Abbas said, 'He was 'Ali (bin Abi Talib)." 'Aisha further said, "When the Prophet came to my house and his sickness became aggravated he ordered us to pour seven skins full of water on him, so that he might give some advice to the people. So he was seated in a Mikhdab (brass tub) belonging to Hafsa, the wife of the Prophet. Then, all of us started pouring water on him from the water skins till he beckoned to us to stop and that we have done (what he wanted us to do). After that he went out to the people."
More of the same type of Hadiths can be found in other places in Bukhari:
Baada yakujuwa hivyo vikundi viwili sasa tuje na hii hadith ya Thaqalain.
"Mimi
ninakuachieni vizito viwili ambavyo mkishikamana navyo hamtapotea
baada yangu, Quran na Ahlul
Bait, viwili hivi havitaachana mpaka
vitakaponifikia katika Haudh."
Kila elimu ikiendeleya
tunazidi kuona uzito wa
hii Quran yetu tukufu. Mfano
moja ni
wa ile hesabu
ya nambari 19. Nadhaniya nyote mumewahi kumsikiya jamaa wa
Kimisri ajulikanae kwa jina la Dr. Rashad Khalifa aliyekuwa akiishi
Basi kama tulivyoona yakuwa uzito wa mwanzo yaani Quran imepangika kwa nambari 19 basi bila shaka uzito wa pili yaani Ahlel Bait lazima itakuwa upo uhusiyano na hii nambari 19, kwa sababu maneno ya Mtume (s.a.w) yakuwa hivyo vitu viwili vimeshikamana na hata havitawachayana mpaka vitakapomfikia Mtume (s.a.w) katika Haudh. Tumeshaweza kujuwa uhusiyano nambari 19 na ya hii Quran lakini Ahlel Bait vipi?
Tukija kwa Ahlel Bait tutaona yakuwa hii nambari
19 inawakhusu
|
Muhammad - MIM HA MIM DAL |
4 |
ã Í ã Ï |
|
Ali - AIN LAM YA |
3 |
Ú á í |
|
Fatma -FA ALIF TAH MIM TA |
5 |
Ý Ç Ø ã É |
|
Hassan - HA SIN NUN |
3 |
Í Ó ä |
|
Hussain - HA SIN YA NUN |
4 |
Í Ó í ä |
|
Jumla |
19 |
|
Sasa hapa wazi kabisa
yakuwa Quran na Ahlel
Bait wameshikama na nambari 19 ni dalili
ya kutosha ambayo Allah ametuwekea kututhibitisha kwa wale wenye kuwapinga Ahlel Bait na kuwatiya
dowa, ikiwa watasikiya na kuufuata
ukweli!
Majina
Tukiangaliya majina
|
ã
Ï Í Ú á í Ý Ç Ø É Ó ä |
12 |
|
MIM HA DAL AIN LAM YA FA ALIF TAH TAH(Marbuta) SIN NUN |
12 |
Tumeshajuwa
yakuwa nambari 19 inakwenda na
mpango wa Quran, lakini nambari
12 ya nini?
Sunan Abu Dawud Book 36, Number 4266:
“The Prophet (peace_be_upon_him) said: THE RELIGION WILL CONTINUE TO BE ESTABLISHED TILL THERE ARE TWELVE CALIPHS OVER YOU, and the whole community will agree on each of them. I then heard from the Prophet (peace_be_upon_him) some remarks which I could not understand. I asked my father: What is he saying: He said: all of them will belong to Quraysh.”
Kutaka kuona zaidi ya hadith ya namna ya hiyo juu bonyenza hiyo kiungo hapa : Makhalifa Kumi na mbili
Tukiangaliya kwa makini tutaona mambo
1)Majina ya Ahlel Bait matano yanakwenda pamoja na mpango wa
Quran kwa nambari 19. Inathibitisha yakuwa Ahlel Bait na Quran
wameshikamana.
2) Ahlel Bait wameshikamana pamoja na
Quran mpaka kwenye Haudh katika
hadith Thaqalain
3) Majina ya Ahlel
Bait watano yanakwenda pamoja na
nambari 12 ambayo ni Makhalifa wa
Mtume (s.a.w)
4) Islamu imeshikamana na makhalifa
12 ambao sawa kabisa
Kwa ufupi Ahlel Bait ni wale Mtume
Muhammad (s.a.w),
Usione ajabu yakuwa kwenye
Quran herufu ya Imam imetajwa
mara 12!
IMAM
1)15:79 (2) 36:12
IMAMA
3) 2:124 (4)
IMAMAHUM
7) 17:71
AIMAT
8)
Bila shaka wenyewe kuwapinga
na kuwa
na ukhasama na Ahlel Bait daima
utakuta wapo mbioyoni kutaka kutiya dowa Ahlel
Bait, hadith zozote zenye sifa zao
kwa wao haina
maana na yenye msingi.
Quran imetufundisha yakuwa muujiza na
dalili zote walizozileta Mitume kwa wale waliyokuwa hawataki kuwafata ilikuwa haina thamani.